IQNA –Mihadhara kuhusu “Nafasi na Umuhimu wa Familia katika Sira ya Mtume Mtukufu Muhammad (SAW)” imefanyika katika misikiti mbalimbali nchini Misri.
Habari ID: 3481031 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/08/02
Kumbukumbu ya kuaga dunia Mtume Muhammad SAW
IQNA-Mwezi 28 Mfunguo Tano Safar, inasadifiana na siku ya kukumbuka alipofariki dunia Bwana Mtume Muhammad SAW.
Habari ID: 3475833 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/24